Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais Kikwete akutana na Kamati ya BRN

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete jana, Ijumaa, Januari 16, 2015, amekutana na kufanya mazungumzo na wajumbe wa Kamati Maalum Inayojitegemea Iliyofanya Tathmini ya Utekelezaji wa Mfumo wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN).   Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika Ikulu, Dar es Salaam, Rais Kikwete amewashukuru wajumbe wa Kamati Maalum Inayojitegemea

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles