Wanafunzi watatu ambao wanatuhumiwa kuwa vinara wa maandamano ya wanafunzi wa programu maalumu ya walimu wa sayansi Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) wameachishwa masomo.
Wakati mmoja wao akiwa amefukuzwa moja kwa moja, wawili wengine wana nafasi ya kujieleza kuhusika kwao na maandamano hayo, yaliyochafua hali ya hewa na kusababisha wanafunzi 84 kutiwa mbaroni.
Makamu Mkuu wa chuo hicho,
↧