Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"Kuweni makini na wanaotangaza urais mapema"- Askofu

$
0
0
ASKOFU wa Kanisa la Tanzania Field Evangilism (TFE) la Mjini Shinyanga, Edsoni Mombeki amewatahadharisha wananchi kuwa makini na viongozi wanaotangaza nia mapema ya kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, kwa kuhofia kupata viongozi wasio na sifa ambao baadaye wanaweza kuiyumbisha nchi.   Ametoa tahadhari hiyo kanisani kwake, wakati akifunga maombi ya siku tatu ya kuliombea

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>