Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwanamke auawa kwa kukatwa mapanga

$
0
0
MKAZI wa mtaa wa Kitwana kata ya Busoka wilayani Kahama mkoani Shinyanga Regina  Shija (55) ameuawa kwa kukatwakatwa mapanga kichwani  na watu wasiojulikana kwa kile kinachodaiwa ni wivu wa Kimapenzi. Afisa mtendaji wa Mtaa huo, Bw. Rafael Jumanne amesema kuwa tukio hilo limetokea juzi majira ya saa 5.00 usiku ambao watu wasiofahamika walivamia nyumbani kwa  Regina akiwa  anajiandaa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>