Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kinana awataka wazanzibari kuikubali Katiba

$
0
0
Watanzania wametakiwa kuisoma na kuielewa vyema Katiba Inayopendekezwa na Bunge Maalumu la Katiba na muda ukifika kuipigia kura ya ndiyo kwani imebeba mambo mengi yenye manufaa kwa wananchi wa pande zote mbili za muungano. Katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Abdulrahman Kinana ametoa rai hiyo kwenye wilaya ya mjini, wakati wa siku ya kwanza ya ziara yake ya siku kumi kwenye

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>