Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma akerwa na tabia ya wananchi wa mkoa huo kujigeuza "Omba Omba"

$
0
0
MKUU wa mkoa wa Dodoma Chiku Gallawa ametaka wananchi wa mkoa wa Dodoma kuachana na tabia yenye aibu ya kuomba chakula wakati wana fursa za kuzalisha chakula cha kutosha, kujikimu mwaka mzima na ziada kuifanyia biashara.   Alitoa kauli hiyo mwanzoni mwa wiki wilayani Kondoa wakati alipokuwa akizindua msimu wa kilimo mwaka 2015 kwa mkoa wa Dodoma.   Aliwataka wananchi kutambua msimu wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>