Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"Panya Road" 119 waachiwa kwa kukosekana ushahidi 959 wafikishwa mahakamani

$
0
0
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu  Dar es Salaam limewaachia huru vijana 119 wanaodaiwa  kujihusisha na vitendo vya kihalifu  maarufu kama ‘panya road’  baada ya kukosekana kwa ushahidi wa kutosha.   Kamanda wa kanda hiyo, Kamishna Suleiman Kova amesema vijana hao walianza kukamatwa Januari 3 mwaka huu na hadi sasa wamekamatwa watuhumiwa 1,508.   Kamanda Kova amesema  watuhumiwa 119

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>