Jeshi la Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam limewaachia huru
vijana 119 wanaodaiwa kujihusisha na vitendo vya kihalifu maarufu kama
‘panya road’ baada ya kukosekana kwa ushahidi wa kutosha.
Kamanda wa kanda hiyo, Kamishna Suleiman Kova
amesema vijana hao walianza kukamatwa Januari 3 mwaka huu na hadi sasa
wamekamatwa watuhumiwa 1,508.
Kamanda Kova amesema watuhumiwa 119
↧