Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Walinzi wavunja ofisi waiba fedha, bunduki

$
0
0
POLISI mkoa wa Shinyanga inawasaka walinzi wawili wa Kampuni ya Prosper Security Guard wakituhumiwa kuvunja ofisi ya Jambo Oil Mill and Ginnery Limited kisha kuiba fedha Sh milioni 1.07 na kutoweka na bunduki mbili aina ya Shot gun na risasi saba.   Kamanda wa Polisi mkoa wa Shinyanga, Justus Kamugisha alisema tukio hilo ni la Januari 9, mwaka huu saa 1 asubuhi katika eneo la mtaa wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>