Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mfanyabiashara auawa kwa risasi Bunda

$
0
0
Mfanyabiashara wa kuuza samaki, Mkome Marwa (39) wa mtaa wa Nyasura wilayani Bunda, ameuawa na watu wasiojulikana baada ya kupigwa risasi njiani akiwa na mke wake, huku mwingine akijeruhiwa katika matukio mawili tofauti wilaya humo. Kamanda wa polisi mkoa wa Mara, Phillipo Kalangi, amesema tukio la kwanza limetokea Januari 12 mwaka huu, saa 3 usiku, eneo la Nyasura wakati Marwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>