Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Maazimio ya Kamati kuu CCM kwenye Kikao Z’bar haya hapa, Escrow, ishu ya Urais 2015 vimejadiliwa

$
0
0
Tarehe 13/01/2015 Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa chini ya uongozi wa Mwenyekiti wake wa Taifa Dr. Jakaya Mrisho Kikwete ilifanya kikao chake cha kawaida cha siku moja Kisiwandui Mjini Zanzibar. Pamoja na mambo mengine baadhi ya mambo yaliyojadiliwa na Kamati Kuu ni pamoja na:-   1. SAKATA  LA  AKAUNTI  YA ESCROW Chama Cha Mapinduzi kimesikitishwa sana na sakata hili.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>