Licha ya Rais Jakaya Kikwete kutoa ufafanuzi
wa sakata la uchotaji fedha kutoka Akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa
Benki Kuu na kutangaza kuchukua hatua dhidi ya baadhi ya viongozi na
watendaji, nchi wahisani wamesema bado suala hilo linawachanganya na
wanasubiri tamko la Serikali.
Nchi hizo, ambazo
zilizuia takriban Sh1 trilioni za ufadhili na kuchangia nakisi ya bajeti
ya
↧