Neno “piga” lina maana ya “fanya kitendo cha kukutanisha vitu
kwa nguvu, fumua, ezeka, zaba, shambulia, chapa na tandika” kwa mujibu
wa Kamusi ya Kiswahili Sanifu, Oxford, lakini kwa Waziri Mkuu Mizengo
Pinda neno “wapigeni” lilimaanisha “kuendelea kulinda amani”.
‘‘Baada
ya kutoa kauli hiyo kuna watu wakaeleza kuwa sasa Waziri Mkuu analeta
sera za kupiga. Hapana ilikuwa kujaribu
↧