Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Lowassa asema kulinda amani ni jukumu la wote

$
0
0
Waziri mkuu mstaafu, Edward Lowassa  amesema hakuna mtu yeyote mwenye hatimiliki ya  Tanzania hivyo Watanzania wote wanao wajibu wa  kuilinda na kudumisha amani na utulivu uliopo.   Akitoa salamu wakati wa ibada ya kumweka wakfu Mchungaji Solomon Massangwa kuwa Askofu wa Kanisa  la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi  ya Kaskazini Kati, Arusha jana, Lowassa alisema  amani

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>