Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu' Anusurika Kufa katika Ajali ya Gari

$
0
0
Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (Chadema) amenusurika kifo baada ya kupata ajali katika Milima ya Kitonga, Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa.   “Shetani amefeli, Mungu ni mwema. Tuko salama mimi na wote niliokuwa nao kwenye gari,” alisema mbunge huyo anayejulikana zaidi kwa jina la Sugu, katika ujumbe alioutuma kwenye ukurasa wake wa facebook.   Akizungumza kwa simu kutoka

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>