Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Askari waliosababisha kifo Serengeti kubanwa

$
0
0
Polisi mkoani Mara imesema itawachukulia hatua askari watakaobainika kuhusu katika kifo cha Samson Nyakiha (70) baada ya uongozi wa jeshi hilo kukutana na ndugu wa marehemu waliotelekeza maiti katika Kituo cha Polisi cha Wilaya.   Kamanda wa upelelezi wa makosa ya jinai wa mkoa, RCO Rogathe Mlasani alitoa ahadi hiyo katika kikao cha pamoja cha ndugu na uongozi wa polisi wa Wilaya ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>