Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais Kikwete Awataka Viongozi wa Dini Waendelee Kuliombea Amani Taifa

$
0
0
Rais Jakaya Kikwete amewaomba viongozi wa madhehebu ya dini kuendelea kuliombea taifa na watanzania kwa ujumla ili waweze kukabiliana na majukumu mengi na makubwa yaliyoko mbele yao kwa amani na utulivu likiwemo la kupata katiba mpya.   Katika salam zake kwenye hafla ya kumsimika Askofu Solomon Masangwa wa Dayosisi ya Kaskazin Kati

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>