Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mtoto afariki kwa kunywa pombe yenye sumu Singida

$
0
0
Mtoto mmoja mwenye umri wa mwaka mmoja amefariki dunia baada ya kunywa pombe ya kienyeji aina ya Mtukulu inayosadikiwa kuwa na sumu mkoani Singida. Kamanda wa Polisi Mkoani Singida ACP Thobias Sedoyeka amethibitisha kutokea kwa tukio hilo lililotokea majira ya saa 3 asubuhi siku ya Alhamisi tarehe 08 Januari, 2015 na kusema kuwa mama wa mtoto amelazwa katika hospitali ya Makingu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>