Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"Mikikimikiki ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa"......Wanachama 11 wa CUF Wafikishwa Mahakamani, Mhadhiri CBE naye Apandishwa Kizimbani

$
0
0
Wanachama 11 wa Chama cha Wananchi (CUF), Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi ya kujeruhi, kuwatishia na kuwazuia maofisa wa polisi kutekeleza majukumu yao.   Watu hao wanadaiwa kufanya vurugu kwa nyakati tofauti wakati wa uapishwaji wa wenyeviti wa Serikali za Mitaa katika

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles