Mwigizaji Jacqueline Wolper ameibua tafrani la aina yake kwa Mbongo
Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ baada ya kumtumia meseji
iliyomtia shaka mpenzi wa staa huyo, Siwema.
Tukio hilo lilitokea juzikati nyumbani kwa Nay wa Mitego, Kimara-
Korogwe jijini Dar ambapo ilisemekana Wolper alituma SMS iliyokuwa
ikiuliza muafaka wa jambo fulani ndipo Siwema akaja juu na kuanza
↧