Makomandoo wakirusha mabomu sambamba na moto katika Glosary kabla ya kumkabili mtekaji, Amedy Coulibaly. Picha ikiwaonyesha maofisa polisi wakiwa wameuzunguka mwili wa mtekaji, Amedy Coulibaly. Baadhi ya maofisa polisi wakiendelea na ukaguzi nje ya supa maketi ya Kosher nchini Ufaransa. Mwanamke mmoja ambaye alikutwa ndani ya Glosary ya Kosher akiokolewa kutoka nje na mapolisi huku akiwa
↧