Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Bilion 3 kutengwa kumaliza tatizo la "Panya Road"

$
0
0
Wizara ya Kazi na Ajira nchini Tanzania itatenga shilingi Bilioni 3 za kitanzania kwa ajili ya mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana ili waweze kujiajiri na kujiinua kiuchumi na kuachana na kukaa vijiweni na kujiunga na vikundi vya kihalifu. Akizungumza na Mpekuzi, Naibu Waziri wa Kazi na Ajira Mh. Dkt. Makongoro Mahanga amesema tatizo la ajira nchini ni kubwa lakini wizara yake

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>