Chama cha mapinduzi CCM kimevitaka vyombo vinavyotakiwa kuchukuwa
hatua dhidi ya watuhumiwa wa sakata la Tegeta Escrow baada ya bunge
kumaliza jukumu lake vitimize wajibu wao kwa wakati kwa kuchukuwa hatua
stahiki kwani kadri vinavyochelewa vinasababisha maswali mengi kwa
wananchi.
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM Bw Nape Nnauye ameyasema hayo
jijini Dar es Salaam ambapo amesema
↧