Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

CCM yavitaka vyombo vinavyoshughulikia sakata la Tegeta Escrow kuchukua hatua.

$
0
0
Chama cha mapinduzi CCM kimevitaka vyombo vinavyotakiwa kuchukuwa hatua dhidi ya watuhumiwa wa sakata la Tegeta Escrow baada ya bunge kumaliza jukumu lake vitimize wajibu wao kwa wakati kwa kuchukuwa hatua stahiki kwani kadri vinavyochelewa vinasababisha maswali mengi kwa wananchi.   Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM Bw Nape Nnauye ameyasema hayo jijini Dar es Salaam ambapo amesema

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>