Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Jeshi la polisi latoa onyo kwa wananchi ambao wamekuwa wakifanya fujo katika zoezi la uapishwaji viongozi serikali za mitaa.

$
0
0
Jeshi la polisi nchini limetoa onyo kwa baadhi ya wananchi ambao wamekuwa wakifanya fujo katika zoezi la uapishwaji viongozi wa Serikali za mitaa kwa madai kuwa hawakushinda kihalali katika uchaguzi huo jambo ambalo ni kinyume cha sheria, kanuni  na taratibu za nchi.   Kauli hiyo imetolewa na Msemaji wa Jeshi la polisi  SSP-Advera Bulimba ambapo amesema kuwa Jeshi la Polisi kamwe

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>