Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Serikali ya Awamu ya Nne imefanya makubwa: Lowassa

$
0
0
Waziri mkuu wa zamani Mh Edward Lowassa amewataka watanzania kutokatishwa tamaa na maneno yanayozungumzwa kwenye majukwaa ya kisiasa juu ya utendaji kazi wa serikali iliyoko madarakani, badala yake waipime kwa utekelezaji wa ilani ya uchaguzi na ahadi ilizotoa kwani licha ya changamoto zilizopo imefanya mambo mengi makubwa na yanayoonekaana.   Akizungumza katika mikutano ya kuwanadi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>