Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mkuu Mpya wa Mkoa wa Mwanza Atoa Onyo kwa Jeshi la Polisi......Apiga STOP Matumizi ya Mabomu kuwakabili Machinga

$
0
0
Mkuu Mpya  wa mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo, amelitaka jeshi la polisi mkoani Mwanza kutotumia nguvu pamoja na kufurumusha mabomu ya machozi kuwatimua wafanyabiashara ndogondogo maarufu kama machinga mara wanapoombwa na halmashauri ya jiji bila kupata maelekezo.   Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuhitimisha ziara yake ya ghafla katika wilaya ya Nyamagana, Mulongo amesema

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>