Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete
jana, Jumatatu, Desemba 8, 2014, amefungua rasmi Jengo la Shughuli
Nyingi (Multipurpose Hall) la Ikulu katika moja ya shughuli zake za
kwanza baada ya kuanza rasmi kazi kufuatia upasuaji mwezi uliopita.
Sherehe hiyo ya ufunguzi wa Jengo hilo lililoko upande wa kushoto wa
Bustani za Ikulu upande wa Lango Kuu la
↧