Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
akiwapungia mikono wananchi waliofurika katika uwanja wa Uhuru Jijini
Dar es Salaam katika Maadhimisho ya sherehe za miaka 53 ya Uhuru wa
Tanzania Bara akiwa katika Gari maalum liliozunguuka katika uwanja huo
leo.Kushoto ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama,Jenerali Davis
Mwamunyange.
Vikosi
vya Ulinzi na Usalama
↧