Mapacha ambao wameungana huko Bengal Magharibi Ganga na Jamuna Mondal 45, wamesema hawajawahi kuwa na mpenzi katika maisha yao kwa sababu ya kukataliwa kutokana na mwonekano wao.
Mabinti hao ambao wanatumia mikono minne
na miguu mitatu wamesema kwa sasa wanafuraha ambayo hawajawahi kuwa
nayo katika maisha yao baada ya kukutana na mwanaume aliyewapenda kwa
mara ya kwanza Mwalimu
↧