Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Vurugu kubwa za Wakulima na Wafugaji Zaibuka Dumila,Morogoro......Barabara yafungwa kwa masaa kadhaa,Polisi waingilia kati

$
0
0
Jeshi la Polisi limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi wa Dumila na Mbigiri wilayani Kilosa mkoani Morogoro baada ya kufunga barabara ya Morogoro Dodoma kwa kutumia mawe na kuchoma matairi barabarani katika eneo la Dumila na kusababisha abiria wanaotumia barabara ya Morogoro Dodoma kukosa mawasiliano kwa zaidi ya masaa sita.   Mpekuzi imeshuhudia wananchi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles