Jeshi
la Polisi limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi
wa Dumila na Mbigiri wilayani Kilosa mkoani Morogoro baada ya kufunga
barabara ya Morogoro Dodoma kwa kutumia mawe na kuchoma matairi
barabarani katika eneo la Dumila na kusababisha abiria wanaotumia
barabara ya Morogoro Dodoma kukosa mawasiliano kwa zaidi ya masaa sita.
Mpekuzi imeshuhudia wananchi
↧