Baba
wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiinua juu bango linalonadi
UHURU KAMILI miaka 53 iliyopita. Leo ni sikukuu ya kukumbuka siku hii
adhimu
Baba
wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiwasili uwanja wa Uhuru
jijini Dar es salaam kujiunga na wananchi kusherehekea sikukuu ya Uhuru
miaka 53 iliyopita.
↧