Lile wimbi la watu kutumia majina ya mastaa kwenye mitandao ya
kijamii bado linaendelea kwa kasi. Mwandishi wetu amekutana huyu
anayejiita SHILOLE CLASIC akijifanya kuwa yeye ni Shilole ambaye ni mwigizaji na mwanamziki
maarufu hapa Bongo. Hebu tusaidiane kusoma hii NGELI aliyoitoa hapa.
Baada ya taarifa hizi kumfikia Shilole mwenye hiki ndicho alichokisema.
“Nimetumiwa
↧