TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho
Kikwete jana, Jumatatu, Desemba 8, 2014, ameanza kazi rasmi baada ya afya
yake kuimarika kufuatia upasuaji aliofanyiwa mwezi uliopita.
Mhe. Rais ameanza kazi rasmi kwa kumwapisha Mkuu mpya wa Mkoa wa
Arusha, Mheshimiwa Daudi Felix Ntibenda katika shughuli fupi
iliyofanyika Ikulu, Dar Es
↧