Msaidizi wa kazi za ndani (hausigeli), Rehema Ally (17), mkazi wa
Yombo, Machimbo Mwisho, Ilala jijini Dar, amechanwachanwa kwa wembe na
kisu sehemu mbalimbali za mwili wake, hali iliyosababisha alazwe katika
Hospitali ya Amana kwa matibabu.
Akizungumza na gazeti la Uwazi nyumbani kwa mwajiri wake aliyejulikana kwa jina
moja la Ghati, Yombo jijini Dar, Rehema aliyefika jijini hapa
↧