Mheshimiwa Rais, kwa niaba ya watu wa Oman tuishio Tanzania na
wenzetu waliopo Oman, tunakuombea Mungu akujalie uweze kupona haraka ili
urejee katika majukumu yako na kuendeleza nchi kwa ‘speed’ yako kali
MANSHALAH.
Siku zote utakumbukwa kwa maendeleo uliyoifanyia nchi yetu ya Tanzania na ushirikiano mzuri na nchi zote duniani.
Tunakuombea upone haraka na upate furaha na kuweza
↧