Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Diamond Platnumz Ashinda Tuzo Nyingine Nchini Nigeria.

$
0
0
STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' usiku wa kuamkia leo ameshinda tuzo nyingine huko Lagos nchini Nigeria kutoka The Future Awards Africa Prize in Entertainment 2014.   Tuzo hiyo ya Diamond ilipokelewa na Meneja wake Salaam na kwenye kipengele cha tuzo hiyo kulikuwa na wakali wengine wakiwemo Panshack au Ice Prince wa Nigeria na Michael Kwesi kutoka nchini Ghana.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles