Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wananchi Wataka Maazimio ya Bunge Kuhusu Sakata la Escrow Yatekelezwe

$
0
0
Wananchi wa vijiji mbalimbali katika wilaya za Kilosa na Mvomero mkoani Morogoro wameitaka serikali kuharakisha utekelezaji wa maazimio ya bunge ya kuwawajibisha watu wote waliohusika na wizi wa fedha za akaunti ya Tegeta Escrow ili iwe fundisho kwa watumishi wa umma wanapopewa nafasi za kusimamia majukumu mbalimbali ya serikali.   Wakiongea na Mpekuzi wananchi hao wakiwemo vijana

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>