Walimu
zaidi ya 200 katika wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma wameandamana na
kumpa wakati mgumu mkurugenzi wa halmashauri ya Kasulu Masalu Mayaya,
wakishinikiza kulipwa kwa madai yao mbalimbali yanayofikia zaidi ya
shilingi milioni 172.
Viongozi wa chama cha walimu pamoja na walimu hao kutoka shule
mbalimbali za sekondari na msingi wamesema kwa muda mrefu wanaidai
serikali fedha za
↧