Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mtuhumiwa wa ugaidi Arusha afariki mikononi mwa polisi

$
0
0
Hatimaye Abdulkarimu Thabiti Hasia aliyekuwa akituhumiwa kwa ugaidi, amefariki katika Hospitali ya Mkoa wa Arusha, Mount Meru alipokuwa amelazwa kwa miezi sita akiwa mikononi wa polisi.   Taarifa ya kifo cha Hasia aliyekuwa mmoja wa maimamu wa Msikiti wa Geti la Mbao Mbauda, ilitolewa jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani Arusha wakati kesi ya mtuhumiwa huyo na wenzake saba

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles