Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watu 50 Wanusurika Kufa katika Ajali mbaya iliyotokea Mlima Nyoka jijini Mbeya

$
0
0
Basi la Mbukio Missio muda mfupi baada ya kupata ajali eneo la Mlima Nyoka mkoani Mbeya leo. Lori la mafuta lenye namba za usajili T 332 AGA ambalo dereva wake Godfrey Lyimo (33) alijeruhiwa vibaya na kukimbizwa hospitali kwa matibabu zaidi. Pichani lori hilo la mafuta liliwa limepinduka. Wananchi wakiwa eneo la ajali. Taswira kutoka eneo hilo la ajali. (

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>