Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Binti aliyeongoza Matokeo ya Darasa la saba Aozeshwa kwa mahari ya kilo 2 za sukari

$
0
0
Gazeti la NIPASHE limeripoti kuwa mmoja wa wanafunzi walioongoza mtihani wa Taifa wa Darasa la saba mwaka huu mwenye umri wa miaka 16 anadaiwa kuozwa kwa mwanaume mwenye miaka 50 baada ya wazazi wake kupewa sukari kilo mbili kama mahari.   Kutokana na hali hiyo mtandao wa kuelimisha jamii kuhusu ukeketeji Mkoani Kilimanjaro NAFGEM umefanya jitihada za kumuokoa pamoja na wanafunzi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>