Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wananchi wanahofu ya kutumia Condoms kwa madai zinachangia maambukizi ya VVU

$
0
0
Matumizi ya kondomu bado ni ya kiwango cha chini mkoani Njombe jambo linaloelezwa na shirika la TMarc Tanzania kwamba linachangia kuyafanya maambukizi ya virusi vya UKIMWI (VVU) yawe juu. Moja ya sababu ni uzushi kwamba kondomu zimepandikizwa magonjwa hazifai kutumika. Kwa mujibu wa Meneja Mahusiano na Mawasiliano wa TMarc Tanzania, Maurice Chirimi shirika hilo linafanya kazi ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>