Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Hiki ndicho alichokiongea yule Hausigeli ( Dada wa kazi ) aliyempiga Mtoto Uganda.

$
0
0
Baada ya habari  za yule msichana  anayefanya kazi za ndani Uganda kuchukua headlines katika vyombo mbalimbali vya Kimataifa Duniani, leo kipo ambacho amekizungumza kwa mara ya kwanza tangu afanye kosa hilo.   Msichana huyo Jolly Tumuhiirwe ambaye kwa sasa amekamatwa na Polisi amesema sababu iliyomfanya amtese mtoto Arnella Kamanzi, ni kutokana na kuchanganyikiwa baada ya waajiri wake

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>