I: UTANGULIZI
a) Masuala ya jumla
Mheshimiwa Spika,
1. Leo
tunahitimisha shughuli za Mkutano wa Kumi na Sita na Kumi na Saba wa
Bunge lako Tukufu. Ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu mwenye wingi
wa Rehema kwa kutufikisha salama siku ya leo.
Mheshimiwa Spika,
2.Mkutano huu ulijumuisha kujadili kazi kubwa zifuatazo:
Kwanza:
↧
Hotuba ya Waziri Mkuu Pinda Aliyoitoa Wakati wa Kuhitimisha Shughuli za Bunge Tarehe 29 Novemba 2014
↧