Kikao cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jana usiku kilivunjika baada ya vurugu kutawala ukumbini humo.
Vurugu hizo zilianza saa 04:42 usiku hadi saa
04:49 usiku wakati Spika Anne Makinda alipolazimika kuahirisha Bunge
hadi leo saa tatu asubuhi.
Chanzo cha vurugu ni kutokana na ugumu wa
kutokukubaliana na azimio la tisa, lililolenga kumwajibisha moja kwa
moja Waziri wa
↧