Katibu wa chama cha Mapinduzi wilaya ya Mbinga Anastasia Amasi akionyesha sehemu iliyoanzia moto kuwaka na kukamata pazia.
Kama unavyoona katika picha hapo ni ndani ya ofisi baada ya moto kuwaka
Katibu
wa chama cha Mapinduzi wilaya ya Mbinga Anastasia Amasi anayeonekana
katika picha akitoa maelezo kwa nje ambapo walimwaga mafuta aina ya
petroli dilishani na kuwasha moto
↧