Ramadhani
Mahanga ambaye amenusurika kuuawa baada ya kukatwakatwa mapanga na
kijana mwenzake anayefahamika kwa jina la Juma Hamisi ambaye alidai
anatembea na mkewe na hivyo kuchukua uamuzi wa kutaka kumuua katika
kijiji cha Isenga manispaa ya Tabora.
Baba
wa kijana Juma Hamisi ambaye anadaiwa kumkatakata mapanga Ramadhani
Mahanga akiwa amekwenda kumjulia hali katika Hospitali ya
↧