Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wapinzania wataka mahakama maalumu ya uwekezaji

$
0
0
Serikali ya Tanzania imetakiwa kuanzisha mahakama maalumu itakayokuwa na jukumu la kushughulikia masuala na kesi zinazohusu uwekezaji.   Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam na vyama vitano visivyo na uwakilishi bungeni kupitia kwa mwenyekiti wa kamati maalum ya maatibu wakuu wa vyama hivyo Bw. Renatus Muhabi.   Kwa mujibu wa Muhabi, mahakama ya uwekezaji itakuwa na jukumu la

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>