Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wakwepa kodi sasa kufilisiwa.....Yapendekezwa Wakinaswa Watangazwe hadharani, TRA Yapewa meno ili kukamata na kuuza mali zao

$
0
0
SERIKALI imesoma kwa mara ya pili bungeni, Muswada wa Sheria ya Usimamizi wa Kodi (TAA) wa mwaka 2014, ambapo pamoja na mambo mengine, sheria hiyo itafanya wakwepa kodi kutangazwa kwenye vyombo vya habari.   Muswada huo pia unampa Mamlaka Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kufanya upekuzi, kukamata, kuchukua na kuuza mali za mlipa kodi kwa lengo la kukomboa kodi na kuzuia

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>