Watumiaji wengi wa huduma ya simu za
mkononi wamekuwa wakilalamikia wizi wa pesa unaofanywa na baadhi ya
makampuni hayo, jana katika kikao cha Bunge Dodoma Serikali imesema
inatambua kuhusu wizi unaofanywa na baadhi ya makampuni ya simu za
mkononi na kutoa tamko namna ambavyo imejipanga kukabiliana na wizi wa
aina hiyo.
Akitoa tamko hilo Naibu Waziri wa
Mawasiliano Sayansi na
↧