Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tamko la Serikali Kuhusu Wizi Unaofanywa na Makampuni ya Simu Hapa Nchini

$
0
0
Watumiaji wengi wa huduma ya simu za mkononi wamekuwa wakilalamikia wizi wa pesa unaofanywa na baadhi ya makampuni hayo, jana katika kikao cha Bunge Dodoma Serikali  imesema inatambua kuhusu wizi unaofanywa na baadhi ya makampuni ya simu za mkononi na kutoa tamko namna ambavyo imejipanga kukabiliana na wizi wa aina hiyo.   Akitoa tamko hilo Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>