HUDUMA ya maombezi ya Good News for all Ministry imeandaa maombi maalumu kwa ajili ya kumuombea Rais Jakaya Kikwete ili afya yake iweze kuzidi kuimarika na kurejea nchini kuendelea na majukumu yake ya kuwatumikia Watanzania.
Maombi hayo yatafanyika Mapinga, Bagamoyo, karibu na Shule ya Sekondari ya Baobab, mita chache katika barabara inayoelekea TAMCO.
Mwenyekiti wa Huduma hiyo,
↧